mazingira

mazingira
kwa pamoja tuyatunze mazingira

Thursday, March 3, 2016

WANANCHI WAHIMIZWA KUTOA TAARIFA ZA UHALIFU NA WAHALIFU


e2278413-c4cc-40bc-baf2-8960bf7c0107
Kamishna wa oparesheni na mafunzo wa Jeshi la Polisi, CP Nsato Marijani, akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam. Kamishna Nsato Marijani amesisitiza wananchi kuendelea kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu ili kuupunguza uhalifu na hatimaye nchi iwe ya Amani na utulivu. Picha na Hassan Mndeme-Jeshi la Polisi.

No comments:

Post a Comment