mazingira

mazingira
kwa pamoja tuyatunze mazingira

Tuesday, April 5, 2016

Neema kwa wamiliki wa vyombo vya habari hasa magazeti


Ile sheria kandamizi inayolalamikiwa na wamiliki wa vyombo vya habari, inayompa mamalaka waziri wa habari, tamaduni na michezo ya kukifungia chombo chochote bila hata ya kwenda mahakamani, ipo mbioni kuondolewa.

Akiongea na waandishi wa habari mkoani kigoma waziri nape amesema serikali inataraji kuunda bodi ambayo itakuwa na uwezo wa kumhukumu mwandishi aliyekiuka taratibu za kiuandishi.....na hakutakuwa tena naaamuzi ya kuadhibu gazeti au chombo cha habari zima/kizima.

Source: Azam news

No comments:

Post a Comment